Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 5:15 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama mtu yeyote akikosa kwa kutenda dhambi bila kujua kuhusu kutotoa vitu vitakatifu anavyotolewa Mwenyezi-Mungu, atamletea kondoo dume asiye na dosari kutoka kundi lake. Wewe utapima thamani yake kulingana na kipimo rasmi cha mahali patakatifu. Hiyo ni sadaka ya kuondoa hatia.

Kusoma sura kamili Walawi 5

Mtazamo Walawi 5:15 katika mazingira