Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 5:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Zaidi ya hayo, huyo mtu atalipa madhara yote aliyosababisha kuhusu vitu vitakatifu kwa kuongeza sehemu ya tano ya thamani yake na kumpatia kuhani yote. Basi, kuhani atamfanyia ibada ya upatanisho kwa ajili ya dhambi kwa huyo kondoo dume aliye sadaka ya kuondoa hatia, naye atasamehewa.

Kusoma sura kamili Walawi 5

Mtazamo Walawi 5:16 katika mazingira