Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 38:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakamchukua Yeremia wakamtumbukiza katika kisima cha Malkia mwana wa mfalme ambacho kilikuwa katika ukumbi wa walinzi. Walimshusha Yeremia ndani kwa kamba. Ndani ya kisima hicho hakukuwa na maji bali tope, naye Yeremia akazama katika tope.

Kusoma sura kamili Yeremia 38

Mtazamo Yeremia 38:6 katika mazingira