Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 38:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Ebedmeleki, towashi Mwethiopia aliyekuwa akifanya kazi katika ikulu, alipata habari kwamba walikuwa wamemtumbukiza Yeremia kisimani. Wakati huo mfalme alikuwa anabarizi penye lango la Benyamini.

Kusoma sura kamili Yeremia 38

Mtazamo Yeremia 38:7 katika mazingira