Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 52:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia kapteni wa walinzi wa mfalme alichukua vibakuli, vyetezo, mabirika, vyungu, vinara vya taa, vijiko vikubwa na mabakuli ya sadaka za vinywaji, vyombo hivyo vikiwa vya dhahabu au vya fedha.

Kusoma sura kamili Yeremia 52

Mtazamo Yeremia 52:19 katika mazingira