Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 52:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhusu vitu Solomoni alivyotengeneza: Nguzo mbili, birika kubwa moja na sanamu za fahali kumi na mbili za shaba nyeusi ambazo zilikuwa chini ya hilo birika kubwa pamoja na vikalio, shaba nyeusi ya vitu hivi vyote ilikuwa na uzito mwingi sana.

Kusoma sura kamili Yeremia 52

Mtazamo Yeremia 52:20 katika mazingira