Sura

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
  5. 5
  6. 6
  7. 7
  8. 8
  9. 9
  10. 10
  11. 11
  12. 12
  13. 13
  14. 14
  15. 15
  16. 16
  17. 17
  18. 18
  19. 19
  20. 20
  21. 21
  22. 22
  23. 23
  24. 24
  25. 25
  26. 26
  27. 27
  28. 28
  29. 29
  30. 30
  31. 31
  32. 32
  33. 33
  34. 34
  35. 35
  36. 36
  37. 37
  38. 38
  39. 39
  40. 40
  41. 41
  42. 42
  43. 43
  44. 44
  45. 45
  46. 46
  47. 47
  48. 48
  49. 49
  50. 50
  51. 51
  52. 52
  53. 53
  54. 54
  55. 55
  56. 56
  57. 57
  58. 58
  59. 59
  60. 60
  61. 61
  62. 62
  63. 63
  64. 64
  65. 65
  66. 66
  67. 67
  68. 68
  69. 69
  70. 70
  71. 71
  72. 72
  73. 73
  74. 74
  75. 75
  76. 76
  77. 77
  78. 78
  79. 79
  80. 80
  81. 81
  82. 82
  83. 83
  84. 84
  85. 85
  86. 86
  87. 87
  88. 88
  89. 89
  90. 90
  91. 91
  92. 92
  93. 93
  94. 94
  95. 95
  96. 96
  97. 97
  98. 98
  99. 99
  100. 100
  101. 101
  102. 102
  103. 103
  104. 104
  105. 105
  106. 106
  107. 107
  108. 108
  109. 109
  110. 110
  111. 111
  112. 112
  113. 113
  114. 114
  115. 115
  116. 116
  117. 117
  118. 118
  119. 119
  120. 120
  121. 121
  122. 122
  123. 123
  124. 124
  125. 125
  126. 126
  127. 127
  128. 128
  129. 129
  130. 130
  131. 131
  132. 132
  133. 133
  134. 134
  135. 135
  136. 136
  137. 137
  138. 138
  139. 139
  140. 140
  141. 141
  142. 142
  143. 143
  144. 144
  145. 145
  146. 146
  147. 147
  148. 148
  149. 149
  150. 150

Agano la Kale

Agano Jipya

Zab. 5 Swahili Union Version (SUV)

Mwamini Mungu kwa Ukombozi kutoka kwa Adui

1. Ee BWANA, uyasikilize maneno yangu,Ukuangalie kutafakari kwangu.

2. Uisikie sauti ya kilio changu,Ee Mfalme wangu na Mungu wangu,Kwa maana Wewe ndiwe nikuombaye.

3. BWANA, asubuhi utaisikia sauti yangu,Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.

4. Maana huwi Mungu apendezwaye na ubaya;Mtu mwovu hatakaa kwako;

5. Wajivunao hawatasimama mbele za macho yako;Unawachukia wote watendao ubatili.

6. Utawaharibu wasemao uongo;BWANA humzira mwuaji na mwenye hila

7. Bali mimi, kwa wingi wa fadhili zako,Nitaingia nyumbani mwako;Na kusujudu kwa kicho,Nikilielekea hekalu lako takatifu.

8. BWANA, uniongoze kwa haki yako,Kwa sababu yao wanaoniotea.Uisawazishe njia yako mbele ya uso wangu,

9. Maana vinywani mwao hamna uaminifu;Mtima wao ni shimo tupu, koo lao ni kaburi wazi,Ulimi wao hujipendekeza.

10. Wewe, Mungu, uwapatilize,Na waanguke kwa mashauri yao.Uwatoe nje kwa ajili ya wingi wa makosa yao,Kwa maana wamekuasi Wewe.

11. Nao wote wanaokukimbilia watafurahi;Watapiga daima kelele za furaha.Kwa kuwa Wewe unawahifadhi,Walipendao jina lako watakufurahia.